IQNA

Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ nchini Algeria: Miaka 24 ya Kujenga Kizazi cha Haki

Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ nchini Algeria: Miaka 24 ya Kujenga Kizazi cha Haki

IQNA – Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ iliyoko katika mkoa wa Hama Bouziane, jimbo la Constantine nchini Algeria, imejitolea kwa miaka 24 kufundisha na kuwezesha kuhifadhi Qur’ani Tukufu. Taasisi hii imekuwa mwanga wa maarifa na malezi ya kiroho, ikitoa mafunzo kwa mamia ya wahifadhi wa kiume na wa kike.
20:33 , 2026 Aug 15
Wimbi la matusi na chuki dhidi ya mteule Muislamu wa Seneti saa chache baada ya ushindi wa awali

Wimbi la matusi na chuki dhidi ya mteule Muislamu wa Seneti saa chache baada ya ushindi wa awali

IQNA – Saa chache tu baada ya ushindi wa Abdul El-Sayed katika uchaguzi wa awali wa Seneti wa chama cha Democratic huko Michigan, matusi na chuki mtandaoni dhidi yake viliongezeka kwa kasi kubwa, kulingana na utafiti mpya wa Kituo cha Utafiti wa Chuki Iliyopangwa (CSOH).
12:52 , 2026 Aug 15
Siku ya Wazi ya Msikiti nchini Australia inalenga kukuza majadiliano na maelewano ya Kijamii

Siku ya Wazi ya Msikiti nchini Australia inalenga kukuza majadiliano na maelewano ya Kijamii

IQNA – Msikiti wa Minto (Masjidur Rahman Al-Jami’ee) uliopo New South Wales, Australia, imeandaa hafla maalum ya “Siku ya Wazi” siku ya Jumamosi, Agosti 15. Msikiti huu utafungua milango yake kwa jamii pana kwa ajili ya siku maalum iliyolenga huduma ya vijana, majadiliano ya dini tofauti, na kuimarisha maelewano katika jamii.
12:43 , 2026 Aug 15
Mwislamu wa Burundi aliyesilimu ashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

Mwislamu wa Burundi aliyesilimu ashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

IQNA – Ilimchukua mwaka mmoja tu tangu kuifahamu dini ya Uislamu hadi kufika katika Msikiti Mkuu wa Makkah (Masjid al-Haram), akishiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu.
10:30 , 2026 Aug 14
Hamas yapongeza kauli ya Iran kuhusu umuhimu wa kusitisha vita katika eneo

Hamas yapongeza kauli ya Iran kuhusu umuhimu wa kusitisha vita katika eneo

IQNA – Harakati ya Muqawama wa Palestina ya Hamas imepongeza kauli ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Mohsen Rezaei, kuhusu umuhimu wa kusitishwa kwa vita katika ukanda wa Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
10:20 , 2026 Aug 14
Kiongozi wa Yemen: Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu ni dhihirisho wazi la uadui dhidi ya Uislamu

Kiongozi wa Yemen: Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu ni dhihirisho wazi la uadui dhidi ya Uislamu

IQNA – Akilaani vitendo vya mara kwa mara vya kuidhalilisha na kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kama vitendo vya “Kizayuni na Kimarekani,” kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdul-Malik Badruddin al-Houthi, amesema vitendo hivyo vya kukufuru na kukiuka heshima ya Qur’ani ni sehemu ya uadui mpana zaidi dhidi ya Uislamu.
10:15 , 2026 Aug 14
Mafunzo ya ya Qur’ani kwa wasichana yaanza Karbala, Iraq

Mafunzo ya ya Qur’ani kwa wasichana yaanza Karbala, Iraq

IQNA – Mafunzo ya majira ya joto ya Qur’ani Tukufu kwa wasichana yameanza katika Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Iraq.
10:08 , 2026 Aug 14
Mafundisho ya Imam Ridha (AS) Yaliweka Misingi ya Ustaarabu

Mafundisho ya Imam Ridha (AS) Yaliweka Misingi ya Ustaarabu

IQNA – Urithi wa Imam Ridha (A.S.) ni kielelezo kikamilifu cha kuonesha ukuu wa urithi wa Ahlu-Bayt (AS) wa Mtume Muhammad  (SAW), amesema msomi wa Iraq.
14:45 , 2026 Aug 13
Mtume Muhammad (SAW) daima alikuwa akijitahidi kuunganisha safu za watu

Mtume Muhammad (SAW) daima alikuwa akijitahidi kuunganisha safu za watu

IQNA – Msomi mmoja kutoka chuo kikuu cha Lebanon amesema kuwa maadili ya Kiislamu kuelekea wasio Waislamu yamejengwa juu ya msingi kwamba wanadamu ni ama ndugu zako katika dini au wako sawa na wewe katika uumbaji.
16:43 , 2026 Aug 12
Hafla za maombolezo katika Haram ya Najaf kuelekea Usiku wa 28 Safar

Hafla za maombolezo katika Haram ya Najaf kuelekea Usiku wa 28 Safar

IQNA-Haram takatifu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, imepokea zaidi ya vikundi 100 vya maombolezo na wajumbe mbalimbali katika usiku wa kuamkia tarehe 28 Safar.
16:31 , 2026 Aug 12
Visa 231 vya Chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani katika nusu ya kwanza ya Mwaka 2026

Visa 231 vya Chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani katika nusu ya kwanza ya Mwaka 2026

IQNA – Katikati ya hofu inayokua kuhusu wimbi la chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Ujerumani, mamlaka zimeandikisha visa 231 vya uhalifu dhidi ya Waislamu nchini humo katika nusu ya kwanza ya mwaka 2026.
16:23 , 2026 Aug 12
Msomaji Kijana wa Qur'ani aangaza katika Mashindano ya ‘Dawlet El Telawa’ ya Misri

Msomaji Kijana wa Qur'ani aangaza katika Mashindano ya ‘Dawlet El Telawa’ ya Misri

IQNA – Siku ya pili ya mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Dawlet El Telawa nchini Misri ilishuhudia uwezo mkubwa na maonyesho ya kuvutia kutoka kwa washiriki kadhaa.
16:16 , 2026 Aug 12
Assma Ali avunja mwiko: Awa mwanamke wa kwanza Mwislamu kuwa jaji Mississippi, akabili wimbi la ubaguzi

Assma Ali avunja mwiko: Awa mwanamke wa kwanza Mwislamu kuwa jaji Mississippi, akabili wimbi la ubaguzi

IQNA – Katika kitovu cha eneo la Mississippi Delta, mwanamke Mwislamu amekalia kiti cha mahakama ya manispaa akiwa na jina la kihistoria na wimbi la barua za chuki.
15:48 , 2026 Aug 11
Wanawake wa Bosnia wenye Mafanikio ya Kielimu na ya Kuhifadhi Qur’ani

Wanawake wa Bosnia wenye Mafanikio ya Kielimu na ya Kuhifadhi Qur’ani

IQNA – Kundi la wanawake vijana wa Kiislamu katika Kitivo cha Tiba cha Chuo Kikuu cha Sarajevo limekuwa ishara ya muunganiko kati ya utambulisho wa kidini na ubora wa kielimu. Wamepata heshima kuu za kielimu pamoja na mafanikio bora katika kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
15:35 , 2026 Aug 11
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani yashinikizwa kulaani hatua ya Ufaransa kufunga msikiti kufuatia kisomo cha Qur’ani

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani yashinikizwa kulaani hatua ya Ufaransa kufunga msikiti kufuatia kisomo cha Qur’ani

IQNA – Marekani inapaswa kulaani hatua ya Ufaransa ya kufunga msikiti mmoja nchini humo, hatua ambayo inaripotiwa kuchochewa na kisomo cha aya za Qur’ani Tukufu.
15:18 , 2026 Aug 11
2 3 4 5