IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Vikosi vya kijeshi vimeonyesa taswira nzuri ya uwezo na mamlaka yao, na pia taswira yenye kupongezwa ya taifa la Iran, sambamba na kuthibitisha kuibuka kwa uwezo wa irada wa taifa la Iran katika uga wa kimataifa," akiashiria mafanikio ya majeshi ya Iran katika operesheni dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel hivi karibuni.
16:34 , 2024 Apr 21