IQNA

Wizara ya Wakfu ya Misri kuandikisha watoto milioni moja kuhifadhi Qur'ani

Wizara ya Wakfu ya Misri kuandikisha watoto milioni moja kuhifadhi Qur'ani

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Wakfu ya Misri ametangaza uzinduzi wa mpango wa majira ya kiangazi kwa watoto katika misikiti ya nchi hiyo.
15:08 , 2025 May 21
Kiongozi Muadhamu apongeza unyenyekevu na huduma za Shahidi Rais Raisi

Kiongozi Muadhamu apongeza unyenyekevu na huduma za Shahidi Rais Raisi

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemsifu Shahidi Rais Ebrahim Raisi kama mtumishi wa umma aliyejitolea, ambaye unyenyekevu wake na kujituma bila kuchoka kwa ajili ya watu vilimtofautisha na wengine.  
22:30 , 2025 May 20
Sherehe zafanyika Mauritania kuwaenzi wahifadhi wa Qur'ani

Sherehe zafanyika Mauritania kuwaenzi wahifadhi wa Qur'ani

IQNA – Kundi la watu waliokamilisha kuhifadhi Qur'anI Tukufu kikamilifu wameenziwa katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott.
21:59 , 2025 May 20
Semina ya Al-Azhar yajadili uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani

Semina ya Al-Azhar yajadili uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani

IQNA – Semina kuhusu uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani ilifanyika katika Msikiti Mkuu wa Al-Azhar huko Cairo, Misri.  
21:49 , 2025 May 20
Usomaji wa Kundi: Maqari vijana wasoma aya za Surah Adh-Dhariyat

Usomaji wa Kundi: Maqari vijana wasoma aya za Surah Adh-Dhariyat

IQNA – Wanachama wa timu ya kitaifa ya vijana wa Iran wanaosoma Quran kwa pamoja katika usomaji wa aya 47 hadi 49 kutoka Surah Adh-Dhariyat, wakati wa kikao cha pili cha kambi yao ya mafunzo, kilichofanyika mapema mwezi huu katika mji wa Qom.
21:17 , 2025 May 20
UN: Israel yaendeleza hujuma  Gaza, yawalazimu watu 97,000 kuhama katika siku nne

UN: Israel yaendeleza hujuma  Gaza, yawalazimu watu 97,000 kuhama katika siku nne

IQNA-Shirika la Kimataifa la Uhamaji (IOM) limeripoti kwamba zaidi ya Wapalestina 97,000 wamehamishwa Gaza katika kipindi cha siku nne pekee, huku mashambulizi ya Israeli yakizidi kuwa makali katika eneo hilo lenye mateso.
21:12 , 2025 May 20
Zoezi la kunereka maji ya waridi katika eneo la Niyasar, Iran

Zoezi la kunereka maji ya waridi katika eneo la Niyasar, Iran

IQNA – Wakati maua ya waridi aina ya damask yanapochanua kwenye miteremko ya milima ya Niyasar, katikati mwa Iran, desturi ya muda mrefu ya kunereka maji ya waridi hufanyika tena kwa adhama na usafi wake wa kipekee.
17:48 , 2025 May 19
Picha: Waumini watembelea Al Masjid An Nabawi kabla ya kuanza Hija

Picha: Waumini watembelea Al Masjid An Nabawi kabla ya kuanza Hija

IQNA – Picha hizi zilizopigwa Mei 17, 2025, zinaonyesha Waislamu wakitembelea Al Masjid An Nabawi (Msikiti wa Mtume) mjini Madina wakati wanajiandaa kwa ibada ya Hija ya mwaka huu. Ibada ya kila mwaka ya ya Hija itaanza Saudia katika kipindi cha siku chache zijazo.
17:41 , 2025 May 19
Msomi wa Kiislamu akanusha madai kuwa Mashia wamejitenga na Qur'ani

Msomi wa Kiislamu akanusha madai kuwa Mashia wamejitenga na Qur'ani

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran amepinga madai kwamba Waislamu wa madhehebu ya Shia hawana uhusiano wa karibu na Qur'ani Tukufu huku akiyataja madai kama hayo kuwa ni uzushi wa muda mrefu unaoenezwa na maadui wa Uislamu.
17:38 , 2025 May 19
Mpango Katika Al Masjid an Nabawi walenga kukuza usomaji wa Qur'ani

Mpango Katika Al Masjid an Nabawi walenga kukuza usomaji wa Qur'ani

IQNA – Uongozi wa Al Masjid an Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina umetangaza utekelezaji wa mpango wa kielimu wa kufundisha Qara’at Ashar (mitindo kumi ya usomaji wa Qur'ani) ndani ya msikiti huo.
17:23 , 2025 May 19
Msikiti wa Liverpool unakabiliwa na uhaba wa nafasi, huduma za mazishi

Msikiti wa Liverpool unakabiliwa na uhaba wa nafasi, huduma za mazishi

IQNA-Msikiti mashuhuri jijini Liverpool nchini Uingereza unakumbwa na changamoto ya uhaba wa nafasi na miundombinu huku ukijitahidi kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya huduma za mazishi ya Kiislamu kutoka kwa jamii za ndani na za mikoa jirani.
17:17 , 2025 May 19
Maandamano makubwa zaidi ya Uholanzi katika miongo miwili, ni ya watetezi wa Palestina

Maandamano makubwa zaidi ya Uholanzi katika miongo miwili, ni ya watetezi wa Palestina

IQNA – Mji wa The Hague, Uholanzi umeshuhudia maandamano makubwa ya kuunga mkono Palestina na Gaza siku ya Jumapili.
17:06 , 2025 May 19
Mkuu wa vyuo vya Kiislamu Iran atoa wito wa ushirikiano katika barua kwa Papa

Mkuu wa vyuo vya Kiislamu Iran atoa wito wa ushirikiano katika barua kwa Papa

IQNA-Mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu wa Iran ametuma salamu za pongezi kwa mkuu mpya wa Kanisa Katoliki, akihimiza mazungumzo yenye tija na ushirikiano baina ya dini, huku akitoa akimuenzi Papa Francis aliyeaga dunia hivi karibuni.
16:58 , 2025 May 19
Rais wa Iran: Tukiwa na Umoja wa Kiislamu ‘hakuna adui atakayetushinda’

Rais wa Iran: Tukiwa na Umoja wa Kiislamu ‘hakuna adui atakayetushinda’

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa mshikamano wa kweli kati ya mataifa ya Kiislamu utayafanya kuwa na nguvu zaidi mbele ya maadui.
16:26 , 2025 May 18
Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Nigeria yashirikisha majimbo 36

Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Nigeria yashirikisha majimbo 36

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani yalifanyika mjini Damaturu, mji mkuu wa jimbo la Yobe nchini Nigeria, siku ya Jumamosi.
15:40 , 2025 May 18
11