IQNA

Hujjatul-Islam Panahian: Dini Ndiyo Nguvu Kuu Inayounda Mabadiliko ya Dunia

Hujjatul-Islam Panahian: Dini Ndiyo Nguvu Kuu Inayounda Mabadiliko ya Dunia

IQNA – Mwanazuoni wa Chuo Kikii cha Dini (Hawzah) cha Qom, Hujjatul-Islam Alireza Panahian, ameeleza kuwa dini ndiyo nguvu kubwa zaidi miongoni mwa sababu zinazounda mabadiliko ya kimataifa.
16:06 , 2025 Nov 27
Namna Israel inavyochochea vita nchini Sudan

Namna Israel inavyochochea vita nchini Sudan

IQNA-Afisa wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel amefichua kuwa taarifa za kijasusi za Israel zilichochea mapigano ya Darfur, Sudan ili kuisukuma hali kuelekea kwenye mgogoro na mgawanyiko zaidi, na kwamba mapigano ya sasa nchini humo hatimaye yataishia kwa kugawanywa katika maeneo kadhaa.
15:54 , 2025 Nov 27
Hamas yalaani mauaji na mateso ya wafungwa Wapalestina wanaoshikiliwa na Israel

Hamas yalaani mauaji na mateso ya wafungwa Wapalestina wanaoshikiliwa na Israel

IQNA-Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina (Hamas) imelaani vikali mauaji ya makusudi na mateso ya Wapalestina walioko katika magereza ya kuogofya ya utawala haramu wa Israel, ikiyataja kama “uhalifu kamili wa kivita” na kuitaka jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua madhubuti.
15:23 , 2025 Nov 27
Washindi wa Mashindano ya Qur’ani Tukufu Qatar

Washindi wa Mashindano ya Qur’ani Tukufu Qatar

IQNA – Washindi wa Mashindano ya 30 ya Qur’ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani nchini Qatar wametangazwa katika hafla maalum iliyofanyika Jumanne jijini Doha.
13:54 , 2025 Nov 27
Mandhari ya Msimu wa Vuli Katika Misitu ya Kaskazini mwa Iran

Mandhari ya Msimu wa Vuli Katika Misitu ya Kaskazini mwa Iran

IQNA – Katikati ya misitu yenye rangi elfu moja ya Dalkhani, katika jimbo la Mazandaran kaskazini mwa Iran, msimu wa vuli hujidhihirisha kwa sura yake ya kupendeza zaidi. Katika msimu huu, miti hubadilika na kuvaa rangi zenye kuvutia na majani yake huanguka na kutandaza ardhi kama zulia lenye rangi angavu na maridadi.
15:17 , 2025 Nov 26
Qari Abdul Basit Akumbukwa Katika Kipindi cha Qur’ani Nchini Misri

Qari Abdul Basit Akumbukwa Katika Kipindi cha Qur’ani Nchini Misri

IQNA – Marehemu Abdul Basit Abdul Samad, msomaji maarufu wa Qur’ani kutoka Misri na ulimwengu wa Kiislamu, ameheshimiwa katika kipindi cha televisheni cha Dawlet El Telawa nchini Misri
15:13 , 2025 Nov 26
Qari wa Iran Atarajia Ushindani Mkali katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Pakistan

Qari wa Iran Atarajia Ushindani Mkali katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Pakistan

IQNA – Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya Qur’ani nchini Pakistan amesema anatarajia ushindani mkali katika mashindano hayo.
15:07 , 2025 Nov 26
Al-Kawthar Yatangaza Usajili wa Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani “Mafaza”

Al-Kawthar Yatangaza Usajili wa Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani “Mafaza”

IQNA – Televisheni ya Al-Kawthar imeanza maandalizi ya kuandaa toleo jipya la mashindano yake ya Qur’ani Tukufu yanayorushwa moja kwa moja yanayo julikana kama , “Inna lil-Muttaqeena Mafaza” (Hakika wachamungu watapata mafanikio).
14:59 , 2025 Nov 26
Mahmoud Al-Toukhi aikabidhi Idhaa ya Qur’ani Kuwait Tarteel yake

Mahmoud Al-Toukhi aikabidhi Idhaa ya Qur’ani Kuwait Tarteel yake

IQNA-Mahmoud Al-Toukhi, msomaji mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri, ametoa nakala ya usomaji wake wa Tarteel kwa Idhaa ya Qur’ani ya Kuwait.
14:51 , 2025 Nov 26
Watazamaji zaidi ya milioni 168 wa kipindi cha Qur'ani cha  “Dawlet El Telawa”  Misri

Watazamaji zaidi ya milioni 168 wa kipindi cha Qur'ani cha “Dawlet El Telawa” Misri

IQNA – Kipindi cha televisheni cha Qur’ani Tukufu nchini Misri, “Dawlet El Telawa”, kimepata mafanikio makubwa baada ya kurushwa sehemu nne pekee.
14:42 , 2025 Nov 26
Mazishi ya Kamanda Mwandamizi wa Hizbullah yafanyika Lebanon

Mazishi ya Kamanda Mwandamizi wa Hizbullah yafanyika Lebanon

IQNA –Mazishi ya Shahidi Haytham Ali Tabatabai, kamanda mwandamizi wa Hizbullah, pamoja na wapiganaji wengine wa muqawama waliouawa, yamefanyika Jumatatu katika kitongoji cha Beirut.
11:03 , 2025 Nov 25
Islamabad yaandaa Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Qur'ani Nchini Pakistan

Islamabad yaandaa Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Qur'ani Nchini Pakistan

IQNA – Mashindano ya kwanza ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani nchini Pakistan yameanza rasmi Jumatatu katika mji mkuu wa Islamabad.
10:56 , 2025 Nov 25
“Ubaguzi wa Wazi”: Taharuki Katika Seneti ya Australia Baada ya Mbunge wa Mrengo Mkali Kuvaa Burka

“Ubaguzi wa Wazi”: Taharuki Katika Seneti ya Australia Baada ya Mbunge wa Mrengo Mkali Kuvaa Burka

IQNA – Seneta mwenye msimamo mkali wa mrengo wa kulia nchini Australia, Pauline Hanson, ameibua hasira kali Jumatatu baada ya kuingia bungeni akiwa amevaa vazi la Waislamu la burka, kama sehemu ya juhudi zake za mara kwa mara za kutaka vazi hilo lipigwe marufuku kwa sababu eti wanaovaa hufunika uso wote hadharani.
10:49 , 2025 Nov 25
Waislamu Ufaransa walalamikia IFOP kwa upendeleo na ukiukaji wa maadili

Waislamu Ufaransa walalamikia IFOP kwa upendeleo na ukiukaji wa maadili

IQNA – Mashirika kadhaa ya Kiislamu nchini Ufaransa yamekosoa taasisi ya utafiti wa maoni ya wananchi, IFOP, kwa kile walichokiita upendeleo wa wazi na kuvunja viwango vya maadili ya kitaaluma.
10:40 , 2025 Nov 25
Khuzestan ya Iran na Basra ya Iraq Kuimarisha Ushirikiano Katika Masuala ya Qur'ani

Khuzestan ya Iran na Basra ya Iraq Kuimarisha Ushirikiano Katika Masuala ya Qur'ani

IQNA – Jumamosi iliyopita, kikao cha kuandaa hati ya makubaliano ya ushirikiano katika shughuli za Qur'ani Tukufu kati ya Mkoa wa Khuzestan nchini Iran na Mkoa wa Basra nchini Iraq kimefanyika mjini Basra.
10:37 , 2025 Nov 25
9