IQNA

Waziri wa Utamaduni wa Thailand Azuru Makumbusho Mpya ya Urithi wa Kiislamu na Kituo cha Qur'ani

Waziri wa Utamaduni wa Thailand Azuru Makumbusho Mpya ya Urithi wa Kiislamu na Kituo cha Qur'ani

IQNA – Bi Zubaydah Taysert, Waziri wa Utamaduni wa Thailand, alifanya ziara rasmi katika Makumbusho ya Urithi wa Kiislamu na Kituo cha Elimu ya Qur'ani kilichoko katika wilaya ya Yingluck, Jumamosi tarehe 18 Oktoba 2025, kabla ya uzinduzi rasmi wa majengo hayo.
07:09 , 2025 Oct 20
Usajili Wazinduliwa Qatar kwa Mashindano ya Qurani ya Sheikh Jassim

Usajili Wazinduliwa Qatar kwa Mashindano ya Qurani ya Sheikh Jassim

IQNA – Usajili umefunguliwa kwa toleo la 30 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikh Jassim bin Muhammad bin Thani nchini Qatar.
06:59 , 2025 Oct 20
Msomi: Qurani Tukufu ni Katiba Kamili ya Maisha ya Kiuchumi, Kitamaduni na Kisiasa

Msomi: Qurani Tukufu ni Katiba Kamili ya Maisha ya Kiuchumi, Kitamaduni na Kisiasa

IQNA-Sheikh Mamosta Fayeq Rostami, msomi maarufu wa Ahul Sunna na mwakilishi wa watu wa Kurdistan katika Baraza la wanazuoni Wataalamu wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Iran amesisitiza kuwa Qurani Tukufu si tu kitabu cha ibada, bali ni waraka kamili unaoelekeza maisha ya binadamu katika nyanja za uchumi, utamaduni na siasa
06:47 , 2025 Oct 20
Fainali za Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu Yazinduliwa Sanandaj, Iran

Fainali za Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu Yazinduliwa Sanandaj, Iran

IQNA-Awamu ya mwisho ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya 48 imezinduliwa rasmi katika hafla iliyofanyika asubuhi ya Jumamosi katika mji wa Sanandaj, mkoa wa Kurdistan.
09:58 , 2025 Oct 19
Muswada wa Chama cha Mrengo wa Kulia Wapendekeza Marufuku ya Niqabu Uidhinishwe chini Ureno

Muswada wa Chama cha Mrengo wa Kulia Wapendekeza Marufuku ya Niqabu Uidhinishwe chini Ureno

IQNA-Bunge la Ureno limeidhinisha muswada unaopendekeza marufuku ya uvaaji wa Hijabu aina ya Niqabu au Burqa kwa sababu za kijinsia au za kidini katika maeneo mengi ya umma. Muswada huo uliwasilishwa na chama cha mrengo wa kulia kinachoitwa Chega, na unalenga hasa burqa na niqab zinazovaliwa na wanawake Waislamu.
09:44 , 2025 Oct 19
Shule ya Mason, Ohio, Marekani, Yafundisha Wanafunzi Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Shule ya Mason, Ohio, Marekani, Yafundisha Wanafunzi Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA-Katika mji wa Mason, jimbo la Ohio nchini Marekani, kuna shule inayojulikana kama ICM Learning Academy ambayo hufundisha wanafunzi si tu kusoma Qur’ani Tukufu bali pia kuifahamu na kuikumbuka kwa moyo wote.
09:32 , 2025 Oct 19
Ammri Nane za Ushirikiano Katika Qur'ani Tukufu

Ammri Nane za Ushirikiano Katika Qur'ani Tukufu

IQNA-Katika Aya ya pili ya Surah Al-Ma’idah, Mwenyezi Mungu Mtukufu ametaja amri nane muhimu, ambazo ni miongoni mwa maagizo ya mwisho aliyoteremshiwa Mtume Muhammad (Rehema na Amani zimshukie). Miongoni mwa amri hizo ni kushikamana kwa pamoja katika njia ya wema na uchamungu.
09:21 , 2025 Oct 19
Thawabu za Tabia Njema

Thawabu za Tabia Njema

Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) amesema: “Kwa hakika mja hupata daraja ya aliyefunga na anayesimama (kwa ibada usiku) kwa sababu ya tabia njema.” (Bihar al-Anwar, Jildi ya 68, Ukurasa wa 386)
15:31 , 2025 Oct 18
Waziri wa Kizayuni  Auhujumu Tena Msikiti wa Al-Aqsa

Waziri wa Kizayuni Auhujumu Tena Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA-Itamar Ben Gvir, Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni, licha ya onyo kutoka kwa Waqfu wa Kiislamu, ameuvamia tena Msikiti wa Al-Aqsa jijini Quds (Jerusalem) kwa mara ya pili ndani ya wiki moja.
08:12 , 2025 Oct 18
Vyuo Vikuu Bora  Vyaenziwa katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ‘Al-Nur’ nchini Iraq

Vyuo Vikuu Bora Vyaenziwa katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ‘Al-Nur’ nchini Iraq

IQNA-Hafla ya kuvienzi vyuo vikuu vilivyofanya vyema pamoja na kamati ya majaji walioshiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya vyuo vikuu, yaliyopewa jina la "Al-Nur", imefanyika katika Chuo Kikuu cha Al-Ameed nchini Iraq.
07:58 , 2025 Oct 18
Maonyesho ya

Maonyesho ya "Misikiti katika Uislamu" Yafanyika Paris

IQNA – "Misikiti katika Uislamu" ni jina la maonyesho ya sanaa yaliyozinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Paris, mji mkuu wa Ufaransa.
07:47 , 2025 Oct 18
Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Kazakhstan Watunukiwa

Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Kazakhstan Watunukiwa

IQNA – Toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Kazakhstan limehitimishwa kwa hafla rasmi iliyofanyika mjini Astana.
07:36 , 2025 Oct 18
Sheikh Ahmed Nuaina Achaguliwa Kuwa Sheikh al-Qurra wa Misri

Sheikh Ahmed Nuaina Achaguliwa Kuwa Sheikh al-Qurra wa Misri

IQNA-Wizara ya Wakfu wa Kidini ya Misri imemteua rasmi Qari Dkt. Ahmed Ahmed Nuaina kuwa Sheikh al-Qurra, yaani Kiongozi Mkuu wa Wasomaji wa Qur'anI nchini humo.
07:45 , 2025 Oct 17
Makkah: Mradi Mpya wa Lango la Mfalme Salman Kuongeza Maeneo ya Sala katika Msikiti Mkuu wa Makka

Makkah: Mradi Mpya wa Lango la Mfalme Salman Kuongeza Maeneo ya Sala katika Msikiti Mkuu wa Makka

IQNA – Katika juhudi za kuboresha huduma kwa mahujaji na wakazi wa Makkah, kampuni ya RUA Al Haram Al Makki imetangaza mradi mkubwa wa maendeleo unaojulikana kama Lango la Mfalme Salman , utakaojengwa karibu na Msikiti Mkuu wa Makkah. Mradi huu utaongoza takriban maeneo 900,000 ya kuswali ndani na nje ya jengo.
07:38 , 2025 Oct 17
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Yawaleta Wanafunzi wa Dunia Karbala

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Yawaleta Wanafunzi wa Dunia Karbala

IQNA – Chuo Kikuu cha Al-Ameed kimeandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an yanayojulikana kama “Qur'an Al-Nur”, yakihusisha wanafunzi kutoka zaidi ya vyuo vikuu 60 vya ndani na nje ya Iraq.
07:24 , 2025 Oct 17
1