IQNA

Mashindano ya kuchagua wawakilishi wa Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu

Mashindano ya kuchagua wawakilishi wa Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu

IQNA – Hatua ya kuchagua wawakilishi wa Iran katika Mashindano ya Saba ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu imefanyika katika Shirika la Qur’ani la Wanazuoni wa Iran, Jumanne.
15:55 , 2025 Aug 26
Duru ya Kitaifa ya Mashindano ya Qur’ani ya Algeria

Duru ya Kitaifa ya Mashindano ya Qur’ani ya Algeria

IQNA – Mashindano ya kitaifa ya kuwania nafasi ya kushiriki katika Juma la 27 la Qur’ani Tukufu nchini Algeria yameanza leo Jumanne, kulingana na Wizara ya Mambo ya Kidini na Wakfu.
15:47 , 2025 Aug 26
Sheikh Qassem: Hizbullah haitaweka chini silaha, haitaruhusu Israel kushambulia Lebanon itakavvyo

Sheikh Qassem: Hizbullah haitaweka chini silaha, haitaruhusu Israel kushambulia Lebanon itakavvyo

IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sheikh Naim Qassem, amesisitiza tena msimamo wa harakati hiyo kukataa wito wa kusalimisha silaha zake.
15:42 , 2025 Aug 26
Mkutano kuhusu ujenzi wa Misikiti na Husseiniya nchini Kuwait

Mkutano kuhusu ujenzi wa Misikiti na Husseiniya nchini Kuwait

IQNA – Mkutano wa kwanza wa timu iliyo na jukumu la kupanga ujenzi wa Husseiniya (kumbikidini katika madhehebu ya Shia) na Misikiti nchini Kuwait ulifanyika Jumatatu.
14:59 , 2025 Aug 26
Tukawaangamiza Kwa Madhambi Yao

Tukawaangamiza Kwa Madhambi Yao

Katika dunia ya leo yenye misukosuko na harakati nyingi, wakati mwingine tunahitaji kusimama kwa muda mfupi na kupata utulivu. Mkusanyiko wa 'Sauti ya Wahy' ukiwa na chaguo la aya za Qur’ani ni mwaliko wa safari ya kiroho na yenye utulivu."
13:59 , 2025 Aug 26
Kikao cha OIC chafanyika Jeddah kuhimiza hatua za kumaliza mauaji ya kimbari Gaza

Kikao cha OIC chafanyika Jeddah kuhimiza hatua za kumaliza mauaji ya kimbari Gaza

IQNA – Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Kiislamu (OIC) ulianza Jumatatu mjini Jeddah, Saudi Arabia, ambapo washiriki wamesisitiza umuhimu wa hatua ya pamoja kusaidia Gaza na Palestina.
09:26 , 2025 Aug 26
Maandamano ya kuunga mkono Palestina huko Copenhagen yavutia maelfu

Maandamano ya kuunga mkono Palestina huko Copenhagen yavutia maelfu

IQNA – Maandamano ya kuunga mkono Palestina yalifanyika mjini Copenhagen, mji mkuu wa Denmark, ambapo waandamanaji zaidi ya 10,000 walitisha mwito wa kumaliza vita huko Gaza na kuhimiza Denmark kutambua taifa la Palestina.
16:37 , 2025 Aug 25
Wafanyakzi  3,500 wa kujitolea wa Hilali Nyekundu wamehudumia waumini huko Mashhad

Wafanyakzi 3,500 wa kujitolea wa Hilali Nyekundu wamehudumia waumini huko Mashhad

IQNA – Zaidi ya waajiriwa 3,500 na wafanyakazi wa misaada kutoka Shirika la Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS) wamewahudumia waumini wanaotembelea Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad.
16:31 , 2025 Aug 25
Mji wa Madina wapokea idadi kubwa ya waumini wa Umrah

Mji wa Madina wapokea idadi kubwa ya waumini wa Umrah

IQNA – Idadi ya waumini wa Umrah wanaoingia katika jiji takatifu la Madina inaongezeka katika msimu mpya wa Umrah ulioanza baada ya Hija ya 2025.
16:22 , 2025 Aug 25
PRC yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Yemen

PRC yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Yemen

IQNA – Kamati za Upinzani za Kawaida (PRC), muungano wa makundi ya Kipalestina, zimelaani mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel yaliyolenga miundombinu nchini Yemen.
16:17 , 2025 Aug 25
Zaidi ya waumini milioni 5 wazuru Mashhad katika siku za mwisho za Safar

Zaidi ya waumini milioni 5 wazuru Mashhad katika siku za mwisho za Safar

IQNA – Zaidi ya waumini milioni 5.2 wameingia jiji takatifu la Mashhad, lililoko kaskazini-mashariki mwa Iran, kutoka maeneo mbalimbali katika siku za mwisho za mwezi wa Safar uliomalizika jana, amesema afisa mmoja.
16:04 , 2025 Aug 25
Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapambana na Marekani

Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapambana na Marekani

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani inahujumu na kukabiliana na Iran kwa sababu inataka taifa hili liwe tiifu kwake, lakini wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu watapambana vikali na “tusi hilo kubwa”.
20:29 , 2025 Aug 24
Australia yashuhudia maandamano makubwa zaidi ya kulaani Israel na kuunga mkono Palestina

Australia yashuhudia maandamano makubwa zaidi ya kulaani Israel na kuunga mkono Palestina

IQNA – Watu katika miji na miji midogo kote Australia walijitokeza kwa wingi Jumapili kuonyesha uungaji mkono wao wa dhati kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel huko Gaza.
11:31 , 2025 Aug 24
Msikiti wa karne moja unawakilisha utambulisho uliojaa utata wa Waislamu wa Marekani

Msikiti wa karne moja unawakilisha utambulisho uliojaa utata wa Waislamu wa Marekani

IQNA – Huko Cedar Rapids, Iowa, msikiti wa mkongwe zaidi nchini Marekani, ambao ni jengo dogo jeupe la mbao, ni ushahidi wa kimya wa historia ndefu ya Waislamu wa Marekani.
11:12 , 2025 Aug 24
Maandamano London kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel huko Gaza

Maandamano London kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel huko Gaza

IQNA- Maandamano yafanyika Uingereza kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Gaza Maandamano makubwa yamefanyika nje ya ubalozi wa utawala wa Israel mjini London, Uingereza kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
09:47 , 2025 Aug 24
1