IQNA

Dar al-Ifta ya Misri: Tafsiri ya Qur’ani kwa kutumia Akili Mnemba (AI) haijuzu

Dar al-Ifta ya Misri: Tafsiri ya Qur’ani kwa kutumia Akili Mnemba (AI) haijuzu

IQNA – Mamlaka ya Fatwa ya Misri (Dar al‑Ifta) imetangaza kwamba matumizi ya programu za akili mnemba (AI), ikiwemo ChatGPT, katika kufasiri Qur’ani Tukufu hayaruhusiwi kisheria.
11:11 , 2026 Jan 28
Ongezeko kubwa la ujenzi wa Misikiti Kazakhstan

Ongezeko kubwa la ujenzi wa Misikiti Kazakhstan

IQNA – Idadi ya misikiti mipya inayofunguliwa nchini Kazakhstan imekuwa ikiongezeka kwa kasi katika miaka ya karibuni, ishara ya mwamko wa Kiislamu unaoendelea kushika mizizi katika taifa hilo la Asia ya Kati.
11:01 , 2026 Jan 28
Ayatullah Isa Qassim: Mamilioni wanamuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Ayatullah Isa Qassim: Mamilioni wanamuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA-Kiongozi mkuu wa Kishia nchini Bahrain amesema katika hotuba kwamba mamilioni ya Wairani wanasimama kidete kulinda uhuru na usalama wa nchi yao kupitia kumuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
10:54 , 2026 Jan 28
Maadui walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine

Maadui walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuwa katika ghasia za hivi karibuni, maadui, yaani Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine,"
08:55 , 2026 Jan 28
Wang Yi: China iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu kulinda haki

Wang Yi: China iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu kulinda haki

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, amefanya mazungumzo na Hissein Brahim Taha, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), mjini Beijing siku ya Jumatatu.
14:41 , 2026 Jan 27
Mwanaharakati wa Iran atoa wito wa kuundwa Jumuiya ya Kimataifa ya Maqari wa Qur’ani

Mwanaharakati wa Iran atoa wito wa kuundwa Jumuiya ya Kimataifa ya Maqari wa Qur’ani

IQNA – Akilaani matukio ya hivi karibuni ya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu, mwanaharakati wa Qur’ani kutoka Iran ametoa wito wa kuundwa kwa Jumuiya ya Kimataifa wa Maqari wa Qur’ani ambayo miongoni mwa majukumu yake ni kufuatilia hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo.
14:15 , 2026 Jan 27
Mashindano ya Qur’ani kwa wasichana yafanyika Hajjah, Yemen

Mashindano ya Qur’ani kwa wasichana yafanyika Hajjah, Yemen

IQNA-Mashindano ya Qur’ani kwa wasichana yamefanyika katika mkoa wa Hajjah nchini Yemen, yakionyesha juhudi za kuimarisha elimu ya Qur’ani miongoni mwa wanafunzi wa kike.
14:00 , 2026 Jan 27
Lebanon Kuandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ‘Al‑Sadiq Al‑Amin’

Lebanon Kuandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ‘Al‑Sadiq Al‑Amin’

IQNA-Lebanon inajiandaa kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayojulikana kama “Al‑Sadiq Al‑Amin,” yatakayofanyika Beirut katika siku za kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhani.
13:50 , 2026 Jan 27
Hizbullah yasema haitakaa kimya mbele ya uchokozi wowote dhidi ya Iran

Hizbullah yasema haitakaa kimya mbele ya uchokozi wowote dhidi ya Iran

IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa: "Imam Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni Faqihi Mtawala wetu na sisi hatutabaki kuwa watazamaji mbele ya uchokozi wowote utakaofanywa dhidi ya Iran".
11:53 , 2026 Jan 27
Harakati ya Kiislamu Iraq yasisitiza utayari wa kuiunga mkono Iran vitani

Harakati ya Kiislamu Iraq yasisitiza utayari wa kuiunga mkono Iran vitani

IQNA-Harakati ya Kata’ib Hizbullah ya Iraq (Brigedi za Hizbullah) imetangaza kuwa iko tayari kushiriki katika vita vyovyote vitakavyotokea ili kuilinda Iran, ikitoa wito kwa wanamapambano duniani kote kujiandaa kwa ajili ya hilo.
16:38 , 2026 Jan 26
Waziri wa Awqaf Algeria awakabidhi wanazuoni wa Afrika nakala ya Qur'ani ya kihistoria

Waziri wa Awqaf Algeria awakabidhi wanazuoni wa Afrika nakala ya Qur'ani ya kihistoria

IQNA – Waziri wa Mambo ya Dini na Awqaf wa Algeria amewakabidhi wanazuoni wa Afrika nakala ya kihistoria ya Qur'ani Tukufu ijulikanayo kama “Rhodosi”, wakati wa kongamano lililofanyika nchini humo kuhusu diplomasia ya kidini.
16:30 , 2026 Jan 26
Nakala 114 adimu za Qurani katika maonyesho Istanbul

Nakala 114 adimu za Qurani katika maonyesho Istanbul

IQNA – Nakala 114 adimu za Qur'ani Tukufu kutoka nchi 44 zimewekwa katika maonyesho maalumu yanayofanyika mjini Istanbul, Uturuki.
16:19 , 2026 Jan 26
Jumuiya ya Watumishi wa Qur’ani: Taifa la Iran lilimewavunja moyo maadui

Jumuiya ya Watumishi wa Qur’ani: Taifa la Iran lilimewavunja moyo maadui

IQNA – Jumuiya ya Watumishi wa Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani machafuko ya hivi karibuni yaliyoungwa mkono na tawala zakigeni, na ikalisifu taifa la Iran kwa kuvuruga njama za maadui.
16:01 , 2026 Jan 26

"Ensaiklopidia ya Usomaji wa Qur’ani”, hatua muhimu ya kuingiza mfumo wa kidijitali katika Sayansi za Qur’ani

IQNA – Ensaiklopidia Maalumu ya Usomaji wa Qur’ani na Sayansi Zake imezinduliwa na Qatar kama kazi mpya inayolinda uhalisia wa kielimu huku ikileta urithi wa qira’ah katika muundo wa kidijitali kwa watafiti na wapenda taaluma za Qur’ani.
15:49 , 2026 Jan 26
Kiongozi wa Hizbullah Asema Ummah wa Kiislamu Unakabiliwa na Makabiliano Magumu

Kiongozi wa Hizbullah Asema Ummah wa Kiislamu Unakabiliwa na Makabiliano Magumu

IQNA – "Ummah wa Kiislamu unakabiliwa na mapambano makubwa yanayoongozwa na Twaghut wa Marekani pamoja na nchi zingine za Magharibi, na uchokozi wa kikatili wa utawala wa Kizayuni."i, amesema kiongozi wa Hizbullah
12:14 , 2026 Jan 25
1