IQNA

Mashindano ya Pili ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Yafanyika Astana, Kazakhstan

Mashindano ya Pili ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Yafanyika Astana, Kazakhstan

IQNA – Tarehe 15 Oktoba, katika Msikiti Mkuu wa Astana, Kazakhstan, mashindano ya pili ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur'an Tukufu yamekamilika, yakileta pamoja washiriki 22 kutoka mataifa 21. Tukio hili limeandaliwa kwa ushirikiano kati ya Wizara ya Mambo ya Kiislamu ya Saudi Arabia na Mamlaka ya Kiroho ya Waislamu wa Kazakhstan.
07:17 , 2025 Oct 17
Mamlaka ya Fatwa ya Al-Azhar Yaruhusu Kulipa Zakat kwa Wapalestina Waliokoseshwa Makazi Gaza

Mamlaka ya Fatwa ya Al-Azhar Yaruhusu Kulipa Zakat kwa Wapalestina Waliokoseshwa Makazi Gaza

IQNA – Dar al-Ifta ya Misri imetoa fatwa mpya ya kidini inayoruhusu raia kuelekeza mali ya zakat kusaidia mahitaji ya msingi ya watu waliokoseshwa makazi huko Gaza.
23:38 , 2025 Oct 15
Raundi ya Mwisho ya Mashindano ya  Qur'ani ya Sheikha Hind bint Maktoum huko Dubai

Raundi ya Mwisho ya Mashindano ya Qur'ani ya Sheikha Hind bint Maktoum huko Dubai

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 26 ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind bint Maktoum imeanza rasmi Dubai, ikiwakutanisha wanaume na wanawake wanaohifadhi Qur’ani kutoka kote katika Muungano wa Falme za Kiarabu.
23:28 , 2025 Oct 15
Kijana wa Kipalestina Akuta Msahafu Uliosalimika Chini ya Magofu ya Nyumba Yake Gaza +Video

Kijana wa Kipalestina Akuta Msahafu Uliosalimika Chini ya Magofu ya Nyumba Yake Gaza +Video

IQNA – Kijana mmoja wa Kipalestina amegundua nakala ya Msahafu ikiwa salama kabisa chini ya magofu ya nyumba yake iliyoharibiwa kaskazini mwa Gaza, akieleza hisia za kina na shukrani baada ya miezi ya mashambulizi.
23:08 , 2025 Oct 15
Mkuu wa Al-Azhar Asisitiza Kuepuka Kuvunjia Heshima Mtukufu ya Dini

Mkuu wa Al-Azhar Asisitiza Kuepuka Kuvunjia Heshima Mtukufu ya Dini

IQNA – Imamu Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmed al-Tayeb, amesisitiza umuhimu wa kuheshimu matukufu ydini na kuepa uka matusi au dharau dhidi matukufu yao.
12:37 , 2025 Oct 15
Maktaba ya Vatican Yatenga Sehemu Maalum ya Kuswali kwa Watafiti Waislamu

Maktaba ya Vatican Yatenga Sehemu Maalum ya Kuswali kwa Watafiti Waislamu

IQNA – Maktaba ya Kitume ya Vatican imetenga eneo dogo kwa ajili ya watafiti Waislamu kuswali wanapoitembelea.
12:20 , 2025 Oct 15
UAE: Wito Watolewa kwa Sala ya Kitaifa ya Kuomba Mvua

UAE: Wito Watolewa kwa Sala ya Kitaifa ya Kuomba Mvua

IQNA – Agizo limetolewa la kuandaa Sala ya Istisqa (kuomba mvua) katika misikiti yote ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) siku ya Ijumaa.
19:06 , 2025 Oct 14
Usajili Wafunguliwa kwa Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya UAE

Usajili Wafunguliwa kwa Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya UAE

IQNA-Idara Kuu ya Mambo ya Kiislamu, Awqaf na Zakat ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza kuanza kwa usajili wa toleo la pili la Emirates International Quran Award.
18:59 , 2025 Oct 14
Msikiti Wafunguliwa Gaza Baada ya Kusitishwa kwa Mapigano, Sauti ya Adhana Yarejea Kambini

Msikiti Wafunguliwa Gaza Baada ya Kusitishwa kwa Mapigano, Sauti ya Adhana Yarejea Kambini

IQNA – Baada ya miezi kadhaa ya kufungwa kutokana na mashambulizi ya angani, Msikiti wa Al-Tawhid ulioko katika kambi ya wakimbizi ya Al-Shati, Gaza, umefunguliwa tena na sauti ya adhana imeanza kusikika kwa mara nyingine.
18:40 , 2025 Oct 14
Maana ya Ushirikiano katika Maisha ya Mtume Mtukufu (SAW)

Maana ya Ushirikiano katika Maisha ya Mtume Mtukufu (SAW)

IQNA – Neno Ta’avun (ushirikiano) hutumika kama istilahi ya kielimu katika fani nyingi, lakini katika Seerah ya Mtume Mtukufu (SAW), mara nyingi linahusiana na vitendo vinavyolenga kutimiza mahitaji ya wengine.
18:22 , 2025 Oct 14
Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani na Sunnah Yazinduliwa Nchini Brazil

Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani na Sunnah Yazinduliwa Nchini Brazil

IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani na Sunnah yameanza rasmi nchini Brazil, katika bara la Amerika ya Kusini.
23:53 , 2025 Oct 13
Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani Kufanyika Sambamba na Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Libya

Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani Kufanyika Sambamba na Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Libya

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yatafanyika wakati wa toleo la pili la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Libya, yatakayofanyika mjini Tripoli mwishoni mwa mwezi huu.
23:46 , 2025 Oct 13
Washiriki 330 Kushindana Katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran ya 48 Mjini Sanandaj

Washiriki 330 Kushindana Katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran ya 48 Mjini Sanandaj

IQNA – Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran, yakihusisha washiriki 330 kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, yatafanyika mwaka huu katika mji wa Sanandaj ulioko magharibi mwa Iran, chini ya kauli mbiu: “Qur'ani, Kitabu cha Umoja.”
23:37 , 2025 Oct 13
Harakati ya Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu mateka 7 wa kwanza wa Israel huko Gaza

Harakati ya Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu mateka 7 wa kwanza wa Israel huko Gaza

IQNA-Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetangaza kukabidhiwa mateka saba wa kwanza wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
23:32 , 2025 Oct 13
Qur'ani Inasemaje Kuhusu Ushirikiano na Kazi ya Pamoja

Qur'ani Inasemaje Kuhusu Ushirikiano na Kazi ya Pamoja

IQNA – Uislamu umeamuru wafuasi wake kusaidiana katika kutenda mema. Wakati watu wanapokusanyika na kuanzisha mahusiano ya kijamii, roho ya umoja huingia katika mahusiano yao, na hivyo hujikinga dhidi ya mgawanyiko na kutengana.
23:27 , 2025 Oct 13
2