IQNA

Aliyevunjia heshima Uislamu nchiniMalaysia afungwa jela nchini

Aliyevunjia heshima Uislamu nchiniMalaysia afungwa jela nchini

IQNA – Mahakama moja katika jimbo la Johor, Malaysia, imemhukumu mwanamume kifungo cha jela kwa kuidhalilisha na kuivunjia heshima dini ya Kiislamu
17:07 , 2026 Aug 22
Rekodi  mpya ya Waislamu waliopata nyadhifa za uongozi nchini Marekani mwaka 2026

Rekodi mpya ya Waislamu waliopata nyadhifa za uongozi nchini Marekani mwaka 2026

IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetangaza kuwa Waislamu 255 wamechaguliwa kushika nyadhifa mbalimbali za umma katika majimbo 26 ya Marekani mwaka 2026, idadi kubwa zaidi kuwahi kurekodiwa. Viongozi hao wanahudumu katika karibu kila ngazi ya serikali, wakiwemo wajumbe wa Kongresi, maseneta na wawakilishi wa majimbo, majaji, meya, wajumbe wa mabaraza ya miji, bodi za shule na nafasi nyingine za mitaa.
15:22 , 2026 Aug 21
Qari wa Misri afaulu katika taaluma ya tiba na usomaji wa Qur’ani

Qari wa Misri afaulu katika taaluma ya tiba na usomaji wa Qur’ani

IQNA – Salah al-Jamal ni daktari kutoka Misri ambaye amepata mafanikio makubwa katika nyanja za kuhifadhi na kusoma Qur’ani Tukufu.
15:04 , 2026 Aug 21
Misikiti elfu kadhaa yajengwa na kukarabatiwa nchini Misri tangu 2014

Misikiti elfu kadhaa yajengwa na kukarabatiwa nchini Misri tangu 2014

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Wakfu nchini Misri ametangaza ujenzi au ukarabati wa misikiti takriban 15,000 nchini humo tangu mwaka 2014.
14:56 , 2026 Aug 21
Msichana wa Guatemala awa mshiriki mdogo azidi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

Msichana wa Guatemala awa mshiriki mdogo azidi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

IQNA – Razan Muhammad Mutawali, msichana wa miaka mitano kutoka Guatemala, ameshiriki katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudi Arabia.
14:49 , 2026 Aug 21
Rekodi yavunjwa  ya waliojisajili Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai

Rekodi yavunjwa ya waliojisajili Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai

IQNA – Jumla ya maombi 20,500 kutoka nchi 135 yamewasilishwa kwa ajili ya toleo la 29 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai (DIHQA).
19:08 , 2026 Aug 20
Kiongozi wa Kikristo Nigeria ampongeza mwanazuoni wa Kiislamu kwa huduma ya miaka 50

Kiongozi wa Kikristo Nigeria ampongeza mwanazuoni wa Kiislamu kwa huduma ya miaka 50

IQNA – Kiongozi wa Kikristo katika Jimbo la Kaduna nchini Nigeria amemuenzo mwanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Usman Mohammed Mai-Mota (Gwalli), kwa kutambua mchango wake wa zaidi ya nusu karne katika kutoa elimu ya Kiislamu na kuwafundisha maelfu ya vijana, katika juhudi za kuimarisha kuishi kwa amani na mshikamano kati ya Wakristo na Waislamu.
18:56 , 2026 Aug 20
Wairani waadhimisha Siku ya Arubaini tangu Mazishi ya Kiongozi Shahidi

Wairani waadhimisha Siku ya Arubaini tangu Mazishi ya Kiongozi Shahidi

IQNA – Hafla ya Khitma kwa ajili ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ilifanyika mjini Tehran Jumanne jioni, ikiwa ni siku ya arubaini tangu kuzikwa kwake.
13:30 , 2026 Aug 19
Watu Kadhaa Wakamatwa Dearborn, Marekani kufuatia uchochezi wa aliyeivunjia heshima Qur’ani

Watu Kadhaa Wakamatwa Dearborn, Marekani kufuatia uchochezi wa aliyeivunjia heshima Qur’ani

IQNA – Polisi wamewakamata watu kadhaa katika mji wa Dearborn, jimbo la Michigan nchini Marekani, baada ya maandamano dhidi ya Uislamu kuwaleta pamoja mamia ya waandamanaji wa kupinga maandamano hayo na kusababisha kuimarishwa kwa ulinzi.
13:18 , 2026 Aug 19
Misikiti ya kihistoria ya Kosovo  ni hazina ya kumbukumbu ya kitaifa

Misikiti ya kihistoria ya Kosovo ni hazina ya kumbukumbu ya kitaifa

IQNA – Misikiti ya kihistoria nchini Kosovo inapaswa kutazamwa kama sehemu ya msingi ya urithi wa kiutamaduni na kihistoria wa taifa hilo, si kama maeneo ya ibada pekee, afisa mmoja wa Jumuiya ya Kiislamu amesema.
13:07 , 2026 Aug 19
Kozi ya mafunzo kwa waamuzi wa Mashindano ya Qur’ani Yafikia Tamati Nchini Iraq

Kozi ya mafunzo kwa waamuzi wa Mashindano ya Qur’ani Yafikia Tamati Nchini Iraq

IQNA – Kozi maalum ya maandalizi ya waamuzi wa mashindano ya Qur’ani nchini Iraq imefikia tamati kwa hafla adhimu.
12:55 , 2026 Aug 19
Waziri wa Elimu wa Misri asisitiza kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule za msingi

Waziri wa Elimu wa Misri asisitiza kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule za msingi

IQNA – Waziri wa Elimu wa Misri amesisitiza umuhimu wa kujenga uhusiano imara kati ya wanafunzi na Qur’ani tangu miaka ya mwanzo ya elimu.
16:25 , 2026 Aug 18
Pogba, nyota wa soka wa Ufaransa aonyesha mshikamano na Gaza

Pogba, nyota wa soka wa Ufaransa aonyesha mshikamano na Gaza

IQNA – Paul Pogba, nyota wa soka wa Ufaransa, ameonyesha mshikamano na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, wanaokabiliwa na mauaj ya kimbari ya Israel, kwa kuposti picha ya mtoto wa Kipalestina akiwa miongoni mwa vifusi na uharibifu wa Gaza kwenye ukurasa wake rasmi wa Instagram.
16:13 , 2026 Aug 18
Misri kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya usomaji wa Qur’ani

Misri kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya usomaji wa Qur’ani

IQNA – Siku ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur’ani itaadhimishwa baadaye mwezi huu chini ya usimamizi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri.
16:09 , 2026 Aug 18
Upanuzi wa Programu ya Kuhifadhi Qur’ani katika ajenda ya Malaysia

Upanuzi wa Programu ya Kuhifadhi Qur’ani katika ajenda ya Malaysia

IQNA – Afisa mmoja wa ngazi ya juu nchini Malaysia amesema kuwa programu ya kuhifadhi Qur’ani katika shule za chekechea chini ya Idara ya Maendeleo ya Jamii (Kemas) itapanuliwa kuanzia mwakani.
15:54 , 2026 Aug 18
1 2 3 4 5