IQNA

Vitu binafsi vya marehemu Qari Abdul Basit vimewekwa katika Makumbusho ya Maqari wa Qur’an nchini Misri

Vitu binafsi vya marehemu Qari Abdul Basit vimewekwa katika Makumbusho ya Maqari wa Qur’an nchini Misri

IQNA – Mkusanyiko wa vitu binafsi vya qari maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad ni miongoni mwa maonyesho katika Jumba la Makumbusho ya Maqari wa Qur’an nchini Misri.
13:55 , 2025 Dec 20
Wayamani walaani kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu Marekani

Wayamani walaani kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu Marekani

IQNA – Mashirika na taasisi mbalimbali za Kiyemeni yamelaani kitendo cha hivi karibuni cha kudhalilisha Qur’an Tukufu nchini Marekani, na yameunga mkono mwito wa kiongozi wa Ansarullah (Houthi) wa kufanya maandamano ya kulaani kitendo hicho cha kufuru.
15:28 , 2025 Dec 19
Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur’an yaanza Oman

Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur’an yaanza Oman

IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’an yenye kauli mbiu “Fa Istamasik: Shikamana na Qur’an” yameanza rasmi nchini Oman.
15:15 , 2025 Dec 19
Uwanja wa Bibi Zahra (SA) katika Haram ya Imam Ali (AS), upanuzi mkubwa zaidi wa eneo takatifu la Kiislamu

Uwanja wa Bibi Zahra (SA) katika Haram ya Imam Ali (AS), upanuzi mkubwa zaidi wa eneo takatifu la Kiislamu

IQNA – Eneo  mpya katika Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, ambalo linatambuliwa  kwa ukubwa wake wa kipekee na sifa bainifu za usanifu wa Kiislamu, umezinduliwa rasmi Jumanne huko Najaf, Iraq.
15:09 , 2025 Dec 19
‘Mchakato Uliojaa Kasoro’: Jumuiya ya Waislamu yapinga marufuku ya Hijabu Ubelgiji

‘Mchakato Uliojaa Kasoro’: Jumuiya ya Waislamu yapinga marufuku ya Hijabu Ubelgiji

IQNA – Jumuiya mashuhuri ya Waislamu nchini Ubelgiji imetangaza kuwa itawasilisha rufaa katika Baraza la Nchi (Council of State), mahakama ya juu kabisa ya kiutawala nchini humo, ikilenga kubatilisha marufuku ya hijabu iliyorejeshwa hivi karibuni katika shule za mikoa ya East Flanders.
14:37 , 2025 Dec 19
Hizbullah yalaani vikali kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Marekani

Hizbullah yalaani vikali kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Marekani

IQNA – Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani kwa kauli kali na nzito kitendo cha hivi karibuni cha kudhalilishwa kwa Qur'ani Tukufu kilichotokea katika jimbo la Texas, nchini Marekani.
14:24 , 2025 Dec 19
Rais Pezeshkian ahutubia Duru ya Kwanza ya Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini

Rais Pezeshkian ahutubia Duru ya Kwanza ya Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu, Imam Rouhullah Khomeini (MA) alikuwa mjumbe wa umoja na mshikamano miongoni mwa watu, akisisitiza kwamba mataifa ya Waislamu yanapaswa yaungane ili maadui wasiweze kuibua mifarakano miongoni mwao.
22:27 , 2025 Dec 18
Iran Kuandaa Mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Mwaka Ujao

Iran Kuandaa Mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Mwaka Ujao

IQNA – Mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu kwa Wanafunzi wa Shule kutoka ulimwengu wa Kiislamu yanatarajiwa kufanyika nchini Iran mwanzoni mwa mwaka ujao.
14:56 , 2025 Dec 18
Shule ya Qur’ani yafunguliwa Gaza kwa msaada wa wananchi wa Iran

Shule ya Qur’ani yafunguliwa Gaza kwa msaada wa wananchi wa Iran

IQNA – Shule mpya ya Qur’ani imefunguliwa mjini Gaza kwa mchango wa kampeni ya wananchi wa Iran inayojulikana kama “Iran Hamdel” kwa ushirikiano na Taasisi ya Ahl al‑Quran ya Gaza.
17:41 , 2025 Dec 17
Dereva Mwislamu wa Uber akabiliwa na tishio la kisu Montreal, Kanada

Dereva Mwislamu wa Uber akabiliwa na tishio la kisu Montreal, Kanada

IQNA – Dereva mmoja Mwislamu wa Uber mjini Montreal amenusurika madhara makubwa baada ya abiria kudaiwa kumtishia kwa kisu, tukio ambalo Baraza la Kitaifa la Waislamu wa Kanada (NCCM) limekemea vikali kama kitendo cha chuki dhidi ya Uislamu.
17:35 , 2025 Dec 17
Netanyahu na balozi wa Marekani waingia kwa nguvu Msikiti wa Al-Aqsa, wakemewa vikali

Netanyahu na balozi wa Marekani waingia kwa nguvu Msikiti wa Al-Aqsa, wakemewa vikali

IQNA – Viongozi wa Palestina wamelaani vikali hatua ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuingia kwa nguvu katika katika eneo la Msikiti wa Al‑Aqsa jijini Quds (Jerusalem) wakati wa sikukuu ya Kiyahudi ya Hanukkah.
17:08 , 2025 Dec 17
Misri yazindua Jumba la Maqari wa Qur’ani Tukufu

Misri yazindua Jumba la Maqari wa Qur’ani Tukufu

IQNA – Jumba la kwanza kabisa la Maqari wa Qur’ani limefunguliwa katika Kituo cha Utamaduni na Uislamu cha Misri kilichopo katika Mji Mkuu Mpya wa Utawala karibu na Cairo.
17:00 , 2025 Dec 17
Uwanja wa Bibi Fatima Zahra (SA) katika Haram ya Imam Ali (AS) wazinduliwa

Uwanja wa Bibi Fatima Zahra (SA) katika Haram ya Imam Ali (AS) wazinduliwa

IQNA – Baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Hazrat Zahra (SA) katika haram ya Imam Ali (AS), uwanja huo unazinduliwa leo.
16:55 , 2025 Dec 17
Athari za Istighfar Katika Maisha ya Dunia na Akhera

Athari za Istighfar Katika Maisha ya Dunia na Akhera

IQNA – Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) ni jambo lililo na athari nyingi katika maisha ya mwanadamu; katika dunia hii na katika Akhera.
16:04 , 2025 Dec 16
Wachambuzi wamtuhumu Netanyahu kwa kupotosha  tukio la Sydney

Wachambuzi wamtuhumu Netanyahu kwa kupotosha tukio la Sydney

IQNA – Shambulio la kigaidi Sydney lililosababisha vifo na majeruhi limezua mijadala mikubwa ya kisiasa na kimtandao, ikiwemo hoja kuhusu namna tukio hili lilivyoinufaisha Israel kisiasa.
15:53 , 2025 Dec 16
2