Habari Maalumu
IQNA – Maafisa wa Maonyesho ya 11 ya Kimataifa ya Vitabu ya Istanbul wametangaza kuanzishwa kwa “Baraza la Kimataifa la Qur’an” (World Quran Assembly)...
17 Aug 2026, 18:03
IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran ametoa wito wa kuitumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) siyo kama nyenzo ya kusaidia pekee, bali...
16 Aug 2026, 17:01
IQNA – Washindi na washiriki katika mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz, yaliyofikia tamati Makka mapema wiki hii, wametunukiwa...
16 Aug 2026, 16:55
IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway ulishiriki katika “Arendalsuka,” ambayo ni jukwaa la kila mwaka la mijadala ya umma nchini Norway....
16 Aug 2026, 16:49
IQNA – Kambi inayojumuisha mashindano matatu ya usomaji wa Qur’ani (Tilawa), warsha za ufundishaji, na hafla maalum ya watoto imepangwa kufanyika huko...
16 Aug 2026, 16:33
IQNA – Katikati ya ukame usio wa kawaida na uhaba mkali wa maji unaotishia sekta ya kilimo na mazingira, wanazuoni wa Kiislamu nchini Uingereza wametoa...
16 Aug 2026, 16:28
IQNA – Wananchi katika mkoa wa Marib nchini Yemen wamefanya maandamano na matukio ya kulaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani katika nchi za Magharibi.
15 Aug 2026, 21:05
IQNA – Mahujaji wa Umra wanashauriwa kupanga ziara zao katika Msikiti Mtukufu wa Makka (Masjid al Haram) wakati wa vipindi vyenye msongamano mdogo.
15 Aug 2026, 20:46
IQNA – Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ iliyoko katika mkoa wa Hama Bouziane, jimbo la Constantine nchini Algeria, imejitolea kwa miaka 24 kufundisha na kuwezesha...
15 Aug 2026, 20:33
IQNA – Saa chache tu baada ya ushindi wa Abdul El-Sayed katika uchaguzi wa awali wa Seneti wa chama cha Democratic huko Michigan, matusi na chuki mtandaoni...
15 Aug 2026, 12:52
IQNA – Msikiti wa Minto (Masjidur Rahman Al-Jami’ee) uliopo New South Wales, Australia, imeandaa hafla maalum ya “Siku ya Wazi” siku ya Jumamosi, Agosti...
15 Aug 2026, 12:43
IQNA – Ilimchukua mwaka mmoja tu tangu kuifahamu dini ya Uislamu hadi kufika katika Msikiti Mkuu wa Makkah (Masjid al-Haram), akishiriki katika mashindano...
14 Aug 2026, 10:30
IQNA – Harakati ya Muqawama wa Palestina ya Hamas imepongeza kauli ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Mohsen Rezaei, kuhusu umuhimu wa...
14 Aug 2026, 10:20
IQNA – Akilaani vitendo vya mara kwa mara vya kuidhalilisha na kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kama vitendo vya “Kizayuni na Kimarekani,” kiongozi wa...
14 Aug 2026, 10:15
IQNA – Mafunzo ya majira ya joto ya Qur’ani Tukufu kwa wasichana yameanza katika Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Iraq.
14 Aug 2026, 10:08
IQNA – Urithi wa Imam Ridha (A.S.) ni kielelezo kikamilifu cha kuonesha ukuu wa urithi wa Ahlu-Bayt (AS) wa Mtume Muhammad (SAW), amesema msomi wa Iraq.
13 Aug 2026, 14:45