iqna

IQNA

kusengenya
Mtazamo wa Maadili Katika Qur'ani/ 4
IQNA - Udaku ni aina ya kusengenya ambapo mwenye kufanya hivyo humuambia mtu kile ambacho mtu mwingine amesema bila ridhaa yake.
Habari ID: 3478476    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Katika khutba ya 140 ya Nahjul Balagha, Imam Ali (AS) anasisitiza kwamba kusengenya sio sahihi katika mfumo wowote maadili na anapendekeza watu wawatendee wenye dhambi kwa huruma.
Habari ID: 3476016    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/01

Mafunzo ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)-Baadhi ya madhambi yana athari kubwa sana katika maisha ya kijamii na ya mtu binafsi na katika kumporomosha mtu kiroho na katika kufikia ukamilifu wa kiutu, kama ambavyo baadhi ya amali njema zina taathira kubwa mno pia katika kumjenga na kumuinua mtu kiroho na kimaanawi.
Habari ID: 3475449    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01