Sura za Qur’ani Tukufu /28
TEHRAN (IQNA) – Kumekuwa na makundi mbalimbali ya watu katika historia yote ambayo yameegemea juu ya uwezo na mali zao kusimama dhidi ya utawala wa Mwenyezi Mungu lakini wote wameshindwa kwani si wingi wa mali wala uwezo wa watu wenye nguvu unaoweza kukabiliana na nguvu za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475701 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29
Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Ufisadi katika nyanja yoyote husababisha kudhoofisha misingi. Jamii iliyoathiriwa na ufisadi itaona matatizo mbalimbali katika ngazi ya mtu binafsi, familia na kijamii. Kwa hiyo, jamii yoyote salama hujitahidi kupambana na ufisadi na kuuzuia.
Habari ID: 3475633 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16