Shujaa Muislamu
IQNA - Kijana wa Kiislamu ambaye aliokoa zaidi ya watu 100 wakati wa shambulio la kigaidi dhidi ya ukumbi wa tamasha mjini Moscow, ameendelea kupongezwa na kuenziwa.
Habari ID: 3478595 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/28
Shujaa
IQNA - Mvulana mwenye umri wa miaka 15 anayeitwa Islam amesifiwa baada ya kuokoa zaidi ya watu 100 wakati wa shambulio la kigaidi kwenye ukumbi wa tamasha mjini Moscow siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3478573 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/25
Ugaidi
IQNA-Kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) limedai kuhusika na hujuma ya kigaidi ambaye imepelekea watu wasiopunua 115 kupoteza maisha Moscow, mji mkuu wa Russia,
Habari ID: 3478562 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/23
Ugaidi
Watu wasiopungua 11 waliuawa na makumi ya wengine walijeruhiwa baada ya kutokea shambulio la kigaidi katika msikiti mmoja mkoani Badakhshan, kaskazini mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3477122 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/09
Jinai ya magaidi
TEHRAN (IQNA)- Raia wasiopungua 53 wameuawa katika shambulio linaloaminika kufanywa na magaidi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Homs, magharibi mwa Syria.
Habari ID: 3476579 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/18
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umelaani mlipuko wa kigaidi uliotokea karibuni katika msikiti wa Waislamu wa Kishia huko Mazar-Sharif katika mkoa wa Balkh, Afghanistan.
Habari ID: 3475155 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/22
TEHRAN (IQNA)- Kundi la kigaidi la ISIS limetoa taarifa na kudai kuwa limehusika na hujuma za kigaidi nchni Uganda Jumanne.
Habari ID: 3474575 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu wa Madhehebu ya Shia katika jimbo la Herat nchini Afghanistan wameitaka serikali ya Taliban kurejesha kamati za usalama ili kulinda misikiti ya Mashia ambayo inakabilia na tishio la kushambuliwa na magaidi wakufurushaji wa ISIS au Daesh.
Habari ID: 3474542 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/11
TEHRAN (IQNA)- Raia wasiopungua watano wamepoteza maisha baada ya bomu lililotegwa mlangoni mwa msikiti wa Eid Gah mjini Kabul, kuripuka na kuwajeruhi watu wengine kadhaa waliokuwa wanahudhuria ibada ya kumbukumbu ya mama wa msemaji wa Taliban Zabihullah Mujahid.
Habari ID: 3474380 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04
TEHRAN (IQNA)- Matukio ya majuma mawili ya hivi karibuni nchini Afghanistan yameonyesha kuwa, makundi ya mapambano na muqawama katika eneo la Asia Magharibi yana nafasi muhimu katika kulinda mamlaka ya kujitawala pamoja na usalama wa mataifa yao.
Habari ID: 3474235 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/28
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Yemen likishirikiana na Kamati za Kujitolea za Wananchi limeweza kutekeleza kwa mafanikio oparesheni ya Al-Nasr Al-Mubin katika mkoa wa Al-Baidha (Al Bayda).
Habari ID: 3474104 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/16
TEHRAN (IQNA)- Magaidi wameua Waislamu 19 waliokuwa msikitini nchini Nigeria katika eneo la mpaka wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika na Mali.
Habari ID: 3473831 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/19
TEHRAN (IQNA)- Magaidi wameshambulia msafara wa wafanyaziara wa Imam Kadhim AS, Imam wa Saba wa Mashia katika eneo la Al Kadhimiya katika mkoa wa Baghdad nchini Iraq.
Habari ID: 3473719 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/09
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden limefanya mashambulizi ya anga yaliyolenga kambi za makundi ya muqawama yanayopambana na magenge ya kigaidi katika mpaka wa Iraq na Syria.
Habari ID: 3473684 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/26
TEHRAN (IQNA)- Chombo kimoja cha habari nchini Iraq kimetangaza kuwa, shambulio la magaidi wa kundi la ukufurishaji la DAESH (ISIS) dhidi ya wapiganaji wa Al-Hashdu-Sha'abi katika mkoa wa Salahuddin limefanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani.
Habari ID: 3473586 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/24
TEHRAN (IQNA) – Umoja wa Mataifa umelaani hujuma za kigaidi mjini Baghadad ambazo zimepelekea makumi ya watu kuuawa na kujeruhiwa.
Habari ID: 3473582 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/22
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Libya imetangaza kuwakamata magaidi wa kundi la ISIS au Daesh karibu na mji mkuu wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3472939 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/07
TEHRAN (IQNA) – Wanachama wa Jeshi la Kujitolea la Wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi wameshiriki katika hafla ya kumuenzi shahdi Abu Mahdi al-Muhandis, naibu kamanda wa jeshi hilo aliyeuawa shahdi katika hujuma ya kigaidi ya jeshi la Marekani mwezi Januari.
Habari ID: 3472867 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/15
TEHRAN (IQNA) - Kundi la Taliban limetoa taarifa na kusema hujuma dhidi ya misikiti nchini Afghanistan zinatekelezwa na mashirika ya kijasusi ya maadui.
Habari ID: 3472861 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/13
TEHRAN (IQNA) – Awamu ya kwanza ya ukarabati muhimu wa Msikiti wa Al Nouri mjini Mosul Iraq imekamilika. Msikiti huo ulihujumiwa na kubomolewa na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) mwaka 2017.
Habari ID: 3472394 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/22