iqna

IQNA

hujurat
Mawaidha
IQNA-Kimsingi, kila anayetamka Shahada mbili anahesabiwa kuwa mfuasi wa Uislamu na hukmu za Uislamu zinamhusu yeye.
Habari ID: 3478197    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/14

Sura za Qur'ani Tukufu / 49
TEHRAN (IQNA) – Moja ya matatizo sugu katika dunia ya sasa ni ubaguzi wa rangi. Ingawa jitihada zimefanywa ili kukabiliana na jambo hilo baya, inaonekana kwamba kutozingatia mafundisho ya kidini kumezuia jamii kuondokana kabisa na ubaguzi wa rangi.
Habari ID: 3476281    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/21

Mafunzo ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)-Baadhi ya madhambi yana athari kubwa sana katika maisha ya kijamii na ya mtu binafsi na katika kumporomosha mtu kiroho na katika kufikia ukamilifu wa kiutu, kama ambavyo baadhi ya amali njema zina taathira kubwa mno pia katika kumjenga na kumuinua mtu kiroho na kimaanawi.
Habari ID: 3475449    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01