Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /34
TEHRAN (IQNA) – Miongoni mwa Mitume wa Mwenyezi Mungu, wachache wanaaminika kuwa walibaki hai na hawakupata uzoefu wa kifo. Miongoni mwao ni Nabii Ilyas (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) ambaye alimuomba Mwenyezi Mungu amjaalie kifo baada ya watu wake kumuasi, lakini Mwenyezi Mungu alimlipa ujira mwema kwa kumuweka hai mbinguni.
Habari ID: 3476690 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/11
Qur'ani Tukufu Inasemaje /29
TEHRAN (IQNA) – Mitume wawili wa Mwenyezi Mungu waliwahi kupewa jukumu la kutekeleza utume muhimu katika mazingira magumu. Wakaambiwa: Msiogope mimi nitakuwa pamoja nanyi.
Habari ID: 3475934 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/15
Fikra za Kiislamu
Qur'ani Tukufu inataja kuota na athari zake kama suala muhimu, ikigusia juu yake katika aya kadhaa.
Habari ID: 3475842 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/26
Sura za Qur'ani Tukufu /26
TEHRAN (IQNA) – Mwenyezi Mungu ametuma Mitume wengi kuwaongoza wanadamu na walikumbana na matatizo na masaibu mengi katika njia hii.
Habari ID: 3475649 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/19