iqna

IQNA

muongozo
Qur'ani Tukufu Inasemaje /15
TEHRAN (IQNA) – Kaaba tukufu iliyoko Makka ni mahali ambapo Waislamu hutekeleza Hija na Umrah, lakini kwa mujibu wa Qur'ani, Kaaba ni kwa ajili ya mwongozo sio tu kwa Waislamu bali ulimwengu mzima.
Habari ID: 3475453    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/02