iqna

IQNA

114
Sura za Qur'ani Tukufu /19
TEHRAN (IQNA) – Bibi Maryam, mama yake Nabii Isa (AS), ametajwa ndani ya Qur'ani Tukufu kuwa ni mwanamke mwema aliyetakasika, ambaye hakuwa mtume bali alilelewa kama nabii na ambaye mwenendo wake ulikuwa kama ule wa Mitume wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475521    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/21

Sura za Qur'ani Tukufu /16
TEHRAN (IQNA) – Baraka za Mwenyezi Mungu hazina idadi. Wengine hutafakari juu ya neema au baraka hizo na wengine hawajali au wanapuuza.
Habari ID: 3475462    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/04

Sura za Qur'ani / 10
TEHRAN (IQNA) – Sehemu za aya za Qur’ani zina visa vya Mitume wa Mwenyezi Mungu na makabiliano yao na wale wanaoikadhibisha dini na maamrisho ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475431    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/27

Sura za Qur'ani /9
TEHRAN (IQNA) – Sura zote ndani ya Qur’ani Tukufu zinaanza na sentensi “Kwa Jina la Mwenyeezi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu” (Bismillah Ar-Rahman Ar-Raheem) isipokuwa Sura At-Tawbah.
Habari ID: 3475414    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/23