iqna

IQNA

aplikesheni
Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wametakiwa kuchukua tahadhari kuhusu nakala za Qur’ani Tukufu zilizo katika mitandao ya intaneti na aplikesheni kwani imebainika kuwa baadhi zimepotoshwa kwa makusudi.
Habari ID: 3476222    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/09

TEHRAN (IQNA)- Aplikesheni maalumu ambayo inawasiadia Waislamu kuhitimisha Qur'ani Tukufu imezinduliwa hivi karibuni nchini Kuwait.
Habari ID: 3475250    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/14

TEHRAN (IQNA)- Aplikesheni mpya ya Qur'ani iliyopewa jina la 'Ayatul Ahkam' imezinduliwa hivi karibuni nchini Kuwait.
Habari ID: 3473990    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/08

TEHRAN (IQNA) – Aplikesheni maarufu ya Kiislamu inayojulikana kama Muslim Pro imekanusha taarifa kuwa inashirikiana na Jeshi la Marekani katika kutoa taarifa za siri za Waislamu wanaoitumia katika simu zao za mkononi.
Habari ID: 3473372    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/18

TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu imezindua aplikesheni mpya ya Qur’ani Tukufu kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472741    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/06

TEHRAN (IQNA) – Aplikesheni mpya ya Qur’ani Tukufu inayojulikana kama “Quranona” ambayo ina tarjuma kwa lugha 35 imezinduliwa.
Habari ID: 3472680    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/19

Aplikesheni za kusoma Qur’ani Tukufu zinaendelea kupata umashuhuri katika nchi za Kiislamu na hata nchi zisizokuwa za Kiislamu kote duniani.
Habari ID: 3428150    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/01