iqna

IQNA

kiswa
Ka'aba Tukufu
IQNA – Mpango wa kawaida wa matengenezo na ukarabati wa Ka’aba katika mji mtakatifu wa Makka ulianza Jumamosi.
Habari ID: 3478023    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/12

Kaaba Tukufu
MAKKA (IQNA) – Kifuniko, kinachojulikana kama Kiswa, cha Kaaba Tukufu kilibadilishwa Jumanne usiku kwa mujibu wa desturi ya kila mwaka.
Habari ID: 3477304    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/19

Ibada ya Hija 1444
Pazia la al-Kaaba maarufu kama Kiswa au Kiswah limeinuliwa kwa mita tatu ili kuandaa eneo hilo kwa ajili ya Hija ya mwaka huu wa 1444 Hijria Qamaria na kuwakaribisha mamilioni ya Mahujaji.
Habari ID: 3477130    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/10

Al Kaaba Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Jumamosi kumefanyika hafla ya kubadilisha pazia la al-Kaaba Tukufu linalojulikana kama Kiswa baada ya kuwadia mwezi wa Muharram 1444 Hijria, ambao ni mwezi wa kwanza katika kalenda ya Kiislamu.
Habari ID: 3475561    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

TEHRAN (IQNA)- Sherehe imefanyika mjini Makka Jumapili kubadilisha pazia la al-Kaaba Tukufu linalojulikana kama Kiswa baada ya kuwadia mwezi wa Dhul Hija ambao ni mwezi wa kutekeleza Ibada ya Hija.
Habari ID: 3472988    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/22

TEHRAN (IQNA)- Sherehe imefanyika mjini Makka Jumapili kubadilisha pazia la al-Kaaba Tukufu linalojulikana kama Kiswa.
Habari ID: 3471640    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/20