iqna

IQNA

hilali
Kituo cha Kimataifa cha Astronomia
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kimataifa cha Astronomia (IAC) kimesema Siku Kuu ya Idul Fitr, ambayo inaadhimisha mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, huenda ikaangukia Jumamosi.
Habari ID: 3476880    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Watu wawili walirusha kitu kinachofanana na bomu la molotov kwenye nembo kubwa ya hilali nje ya Msikiti wa Fatima al-Zahra huko Long Island, New York, Marekani siku chache kabla ya sherehe ya Kiislamu ya Idul Adha.
Habari ID: 3475498    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/13

TEHRAN (IQNA) – Mwanachama wa Kamati ya Hilali ya Mwezi nchini Iran amesema hilali ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani haitazamiwi kuonekana Alhamisi Aprili 23.
Habari ID: 3472695    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/23

TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini Oman imetangza kuwa Mei 17 itakuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471500    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/07

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma ya kinyama ya Saudi Arabia katika jirani ya Yemen ni kosa la kistratejia.
Habari ID: 3277848    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/10